FIZIOTHERAPIA DARAJA LA II (PHYSIOTHERAPIST II)

Employer: MDAs & LGAs

Salary Scale: TGHS-B

Posts: 39

Closing Date: 27 Feb 2026

Duties & Responsibilities

  1. Kutoa tiba kwa kuzoeza viungo/ kwa vitendo.
  2. Kukusanya na kutunza takwimu na taarifa za mgonjwa.
  3. Kutunza vifaa vya Idara.
  4. Kutoa elimu ya Afya kwa jamii kuhusu kutambua dalili na kuzuia ulemavu.
  5. Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi.

 

Qualifications

Kuajiriwa wenye Stashahada ya Fiziotherapia kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali na kusajiliwa kwa usajili wa kudumu (Full Registration Practitioners) na Baraza la Madaktari Tanganyika.